Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua wewe, kama mwombezi wangu kwa Mungu Mwenyezi, na pia kama mfano wangu, na mlinzi wangu, na baba yangu, katika bonde hili la ugenini.


Ee Mt. Yosefu, ambaye Bwana alikufanya mlinzi wa Familia yake, ninakuomba uwe mlinzi wangu mwema katika mambo yangu yote. Uniwashie moyoni mwangu moto wa mapendo makuu kwa Yesu, na uniwezeshe kumtumikia kwa bidii na kwa uaminifu kwa mfano wako. Nisaidie katika udhaifu wangu katika kumheshimu Mama Maria kama Mwombezi wangu.

Daima uwe kiongozi wangu katika njia ya fadhila na ibada, na unijalie, baada ya kukufuasa kwa uaminifu katika njia ya haki, nipate ulinzi wako wenye nguvu katika saa ya kufa kwangu.
Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joyce Nkya (Guest) on April 19, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Janet Sumari (Guest) on March 6, 2017

Sifa kwa Bwana!

George Tenga (Guest) on February 15, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Margaret Mahiga (Guest) on February 12, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Raphael Okoth (Guest) on December 11, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Michael Mboya (Guest) on October 23, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Joseph Mallya (Guest) on October 22, 2016

Rehema zake hudumu milele

Francis Mrope (Guest) on October 1, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Michael Mboya (Guest) on June 20, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Akech (Guest) on June 15, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Sarah Mbise (Guest) on March 27, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Mariam Kawawa (Guest) on February 25, 2016

Dumu katika Bwana.

Jane Muthoni (Guest) on February 10, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Alice Wanjiru (Guest) on January 18, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Violet Mumo (Guest) on January 10, 2016

Endelea kuwa na imani!

Anna Sumari (Guest) on January 7, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Alice Wanjiru (Guest) on December 27, 2015

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Joyce Aoko (Guest) on November 17, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 16, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Violet Mumo (Guest) on October 27, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Janet Mwikali (Guest) on October 2, 2015

Nakuombea πŸ™

Chris Okello (Guest) on September 20, 2015

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Agnes Lowassa (Guest) on August 10, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lucy Mushi (Guest) on May 5, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Related Posts

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About