Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sala, matendo, kazi, masumbuko, na furaha zangu zote za siku hii ya leo, kwa ajili ya nia za Moyo wako Mtakatifu, Ee Yesu ufalme wako utufikie!

Baba Yetu….
Salamu Maria, …..
Nasadiki …….
Amri za Mungu ……
Amri za Kanisa ……

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 83

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ John Mwangi Guest Jan 11, 2018
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Nov 7, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ John Malisa Guest Sep 8, 2017
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Jul 20, 2017
πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Apr 21, 2017
πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Apr 18, 2017
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Mar 3, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Feb 12, 2017
πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Dec 11, 2016
πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Nov 24, 2016
πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako
πŸ‘₯ Catherine Naliaka Guest Nov 16, 2016
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Nov 9, 2016
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest Oct 14, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Sep 28, 2016
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Jun 5, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Apr 27, 2016
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Jane Malecela Guest Apr 1, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Tabitha Okumu Guest Mar 31, 2016
πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani
πŸ‘₯ John Mushi Guest Dec 24, 2015
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Nov 14, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest Nov 2, 2015
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Jun 1, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest May 18, 2015
πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About