Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe tegemeo langu na tumaini langu dhabiti. Ndiwe mwenye dawa ya maovu yangu yote, malipizi ya makosa yangu yote. Waweza kunipatia haja zangu na neema ninazoziomba mimi na wengine. Wewe uko ili kutusaidia sote, ndiwe mwanga mkuu usiozimika, ndiwe chanzo cha nguvu, uvumilivu, amani na faraja. Nina hakika kuwa maombi yangu hayatakuchosha, nawe hutaacha kunisaidia, kunilinda, kunipenda, kwani, ee Moyo Mtakatifu , upendo wako hauna mwisho. Ee Moyo Mtakatifu, unihurumie, kwa ajili ya maombi yangu, kadiri ya huruma yako. Nawe katika sisi, na kwa ajili yetu, ufanye lolote unalolihitaji, kwani tunajitoa kwako kwa imani na uhakika thabiti kwamba kamwe hautatuacha, kwa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Sokoine (Guest) on October 22, 2017

Nakuombea πŸ™

Sharon Kibiru (Guest) on September 10, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Stephen Malecela (Guest) on July 15, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Lucy Kimotho (Guest) on June 26, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Jane Muthui (Guest) on June 20, 2017

Rehema zake hudumu milele

Edwin Ndambuki (Guest) on June 19, 2017

Sifa kwa Bwana!

Charles Wafula (Guest) on May 2, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Anna Kibwana (Guest) on March 10, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Raphael Okoth (Guest) on January 10, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Margaret Mahiga (Guest) on September 22, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Agnes Sumaye (Guest) on September 12, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Rose Lowassa (Guest) on August 14, 2016

Amina

Elizabeth Mtei (Guest) on June 28, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Ruth Mtangi (Guest) on November 1, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

James Mduma (Guest) on October 1, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Josephine Nduta (Guest) on August 18, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Janet Sumari (Guest) on August 17, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Wafula (Guest) on July 13, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Patrick Kidata (Guest) on June 28, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Catherine Mkumbo (Guest) on June 27, 2015

Dumu katika Bwana.

George Mallya (Guest) on June 23, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Rose Lowassa (Guest) on June 17, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 31, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Related Posts

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About