Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Featured Image

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkingaji na mteteaji wangu. Naweka roho fukara katika moyo wako uliotobolewa na panga nyingi za mateso. Unipokee mimi niwe mtumishi wako wa pekee na mshiriki wa mateso yako. Nijalie nguvu niwe daima karibu na msalaba ule alikosulibiwa Yesu. Nakutolea nafsi yangu na mali yangu yote. Pokea kila tendo langu jema ukalisindikize kwa Mwanao, Mama, nifanye nistahili kuitwa mtumishi wa Maria, Simama karibu yangu katika matendo yangu yote ili yafanwe kwa sifa ya Mungu. Ulivyosimama karibu kabisa ya Mwanao alipokufa msalabani uwe karibu nami saa ya kufa kwangu. Nijalie niweze kutaja jina lako na la Mwana wako nikisema: β€œYesu, Maria na Yosef mnisaidie saa ya kufa kwangu. Yesu, maria na Yosef, naomba nife kwa amani kati yenu!” . Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Wilson Ombati (Guest) on November 7, 2018

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Josephine Nekesa (Guest) on October 3, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Kenneth Murithi (Guest) on January 24, 2018

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Susan Wangari (Guest) on January 7, 2018

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Janet Sumaye (Guest) on December 21, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Lydia Wanyama (Guest) on September 11, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Betty Kimaro (Guest) on August 24, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Robert Okello (Guest) on June 29, 2017

Dumu katika Bwana.

Elizabeth Mtei (Guest) on April 24, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Joyce Mussa (Guest) on February 23, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Frank Sokoine (Guest) on February 22, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Janet Mbithe (Guest) on February 20, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Lydia Wanyama (Guest) on December 14, 2016

Nakuombea πŸ™

Paul Kamau (Guest) on December 8, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Alice Mwikali (Guest) on May 25, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Benjamin Masanja (Guest) on May 25, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Stephen Mushi (Guest) on February 25, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Samuel Omondi (Guest) on December 15, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Frank Macha (Guest) on November 28, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Joseph Kawawa (Guest) on November 15, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Alice Jebet (Guest) on July 25, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Mrope (Guest) on July 24, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Stephen Kikwete (Guest) on May 6, 2015

Rehema hushinda hukumu

Related Posts

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)