Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Featured Image

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na uliyemtazama Mwana wako akifa, unitazame kwa huruma ya kimama ninayekusikitikia. Kwa sababu ya upanga uliochoma moyo wako, kwa mateso ya maisha yako nakuomba uniangalie kwa wema ukasikilize maombi yangu. Nakuomba, ee Mama, uniombee daima kwa Mwana wako, najua hawezi kukuvyima wewe kitu chochote. Basi, ufanye, Moyo wa Mwanao ukubali kunijalia ombi langu hili …………………(taja ombi lako).
Maana nitamkimbilia nani katika mahitaji na misiba yangu isipokuwa kwako, ee Mama wa huruma? Wewe hasa unaweza kutusaidia sisi tulio bado katika bonde la machozi kwa sababu ulishiriki mateso ya Mwanao kutukomboa. Umtolee Yesu tone moja la Damu yake takatifu. Umkumbushe ya kuwa wewe ni matumaini, furaha na maisha yetu ukanipatie jambo ninalokuomba kwa Yesu Kristo, bwana wetu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Wafula (Guest) on February 13, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Miriam Mchome (Guest) on January 20, 2018

Dumu katika Bwana.

Rose Lowassa (Guest) on January 10, 2018

Nakuombea πŸ™

Lydia Mahiga (Guest) on September 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Alice Jebet (Guest) on August 7, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Emily Chepngeno (Guest) on July 14, 2017

Rehema hushinda hukumu

Rose Kiwanga (Guest) on July 12, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Philip Nyaga (Guest) on June 28, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Jane Muthui (Guest) on April 22, 2017

Sifa kwa Bwana!

Daniel Obura (Guest) on March 31, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Fredrick Mutiso (Guest) on March 13, 2017

Endelea kuwa na imani!

Lucy Wangui (Guest) on February 13, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

George Tenga (Guest) on December 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Monica Adhiambo (Guest) on November 16, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Carol Nyakio (Guest) on October 28, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Betty Akinyi (Guest) on October 24, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Rose Kiwanga (Guest) on October 5, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Samson Mahiga (Guest) on March 14, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Henry Sokoine (Guest) on August 25, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Peter Mbise (Guest) on August 3, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 16, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Elizabeth Mrope (Guest) on April 1, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Related Posts

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About