Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Featured Image

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu.Β Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Mbise (Guest) on December 26, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Samson Tibaijuka (Guest) on October 9, 2017

Sifa kwa Bwana!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 21, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Lydia Mutheu (Guest) on May 26, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Josephine Nduta (Guest) on May 10, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Malima (Guest) on March 24, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Peter Otieno (Guest) on January 25, 2017

Mungu akubariki!

Francis Njeru (Guest) on January 10, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Anna Mchome (Guest) on November 4, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Edith Cherotich (Guest) on September 30, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Nancy Kawawa (Guest) on September 28, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Wafula (Guest) on March 8, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Jane Muthui (Guest) on February 2, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Kahina (Guest) on January 20, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Grace Wairimu (Guest) on December 12, 2015

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Mary Sokoine (Guest) on December 2, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 1, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015

Rehema zake hudumu milele

Paul Ndomba (Guest) on June 10, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

David Kawawa (Guest) on May 9, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Susan Wangari (Guest) on May 1, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Related Posts

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About