Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Mambo ya kutafakari unapokuwa katika shida kubwa, unapoelekea kukata tamaa

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Tafakari Kuhusu Wakati wa Shida

Leo tunatafakari kuhusu wakati wa shida. Maisha ya mtu yanabadilika wakati wowote kwa namna yoyote. Yanaweza yakawa mazuri mpaka ukashangaa au yanaweza yasiwe mazuri kama unavyotarajia. Yote hayo ni sehemu ya maisha.

"Nimejifunza kuwa na kuridhika na hali yoyote niliyo nayo. Najua jinsi ya kuwa na hali duni, najua jinsi ya kuwa na hali ya wingi. Katika hali zote na mambo yote, nimefundishwa jinsi ya kushiba na jinsi ya kuwa na njaa, jinsi ya kuwa na wingi na jinsi ya kupungukiwa." (Wafilipi 4:11-12)

Kumbuka Wakati wa Matatizo

Unapokua na matatizo makubwa katika maisha, kumbuka haya yafuatayo:

1. Mungu Yupo na Anakuona

Mungu yupo na anakuona. Mwambie matatizo yako, huo ndio wakati wake wa kuonyesha uwepo wake na nguvu zake. Wewe tu kusema na Mungu kwa utayari na uwazi, hivyo utakao kuwezesha kupata au kutatua tatizo lako.

"Naomba BWANA akujibu siku ya dhiki, jina la Mungu wa Yakobo likuinue." (Zaburi 20:1)
"Mchungueni Bwana na nguvu zake, utafuteni uso wake siku zote." (1 Mambo ya Nyakati 16:11)
"Bwana ni ngome yao katika wakati wa shida." (Zaburi 37:39)

2. Matendo na Maamuzi Yako

Maneno, vitendo, na maamuzi yako ndiyo yanaweza yakawa njia ya kutatua matatizo yako. Usiogope kuchukua hatua zinazohitajika. Tafuta hekima na uongozi kutoka kwa Mungu katika kila hatua unayochukua.

"Yehova atakuelekeza siku zote, na kukusibisha katika nchi yenye ukame, na kukuimarisha mifupa yako. Utakuwa kama bustani iliyomwagiliwa, na kama chemchemi ya maji ambayo maji yake hayatapungua." (Isaya 58:11)
"Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, wala usizitegemee akili zako mwenyewe. Katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyosha mapito yako." (Mithali 3:5-6)
"Nawafundisha njia iliyo njema na adili; msiiachilie sheria yangu." (Mithali 4:11-13)

3. Matatizo Hayako Sio Mwisho wa Maisha

Tatizo lako sio mwisho wa maisha yako, sio mwisho wa yote mazuri ya jana, leo, na kesho. Bado unayo mambo mengi mazuri yanakungojea. Mungu anapanga mambo mazuri kwa ajili ya wale wanaompenda na kumtumainia.

"Maana ninajua mipango niliyo nayo kwa ajili yenu, asema Bwana, ni mipango ya amani na si ya mabaya, ili niwape tumaini katika siku zenu za usoni." (Yeremia 29:11)
"Na tusiache kutenda mema, kwa maana tutavuna kwa wakati wake tusipozimia roho." (Wagalatia 6:9)
"Bwana atakamilisha mambo yangu; Ee Bwana, fadhili zako ni za milele; usiache kazi ya mikono yako." (Zaburi 138:8)

4. Uangalizi wa Tatizo

Kumbuka tatizo lako linaweza likawa sio kubwa ila wewe ndio unaliona kubwa. Wewe sio wa kwanza kuwa na tatizo kama hilo, wengine hayo ndo maisha yao. Angalia kwa mtazamo wa matumaini na uombe hekima ya Mungu ili uweze kuona njia ya kutoka kwenye tatizo lako.

"Mkipungukiwa na hekima, na aombe kwa Mungu, naye atampa kwa ukarimu wala hachukii." (Yakobo 1:5)
"Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku." (2 Wakorintho 4:16)
"Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu." (Wafilipi 4:13)

Kwa hivyo, wakati wa shida, ni muhimu kujikumbusha kwamba Mungu yupo, anakusikiliza, na yupo tayari kukusaidia. Usiache matumaini, endelea kuamini na kutenda kwa hekima na imani, ukijua kwamba matatizo yako ni sehemu ya safari yako ya kiroho na Mungu anapanga mazuri mbele yako.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 100

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest Jul 9, 2024
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Jun 21, 2024
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ David Chacha Guest Jun 19, 2024
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Sarah Mbise Guest Jun 5, 2024
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Jun 1, 2024
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest May 14, 2024
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Apr 16, 2024
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Mar 20, 2024
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Feb 27, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Feb 15, 2024
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ John Lissu Guest Feb 7, 2024
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Jan 14, 2024
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ John Kamande Guest Dec 25, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Catherine Naliaka Guest Dec 8, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Nov 20, 2023
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Charles Mchome Guest Sep 25, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Patrick Mutua Guest Aug 4, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jul 3, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest May 8, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest May 5, 2023
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Apr 21, 2023
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Apr 15, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Charles Wafula Guest Apr 14, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Feb 22, 2023
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Patrick Mutua Guest Jan 30, 2023
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Charles Mchome Guest Jan 3, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Alice Mrema Guest Sep 15, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Samuel Were Guest Aug 16, 2022
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Jul 28, 2022
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Andrew Mchome Guest Jun 28, 2022
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Jun 12, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Apr 10, 2022
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Lucy Kimotho Guest Mar 5, 2022
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Feb 8, 2022
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Grace Mushi Guest Dec 29, 2021
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Nov 14, 2021
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Betty Cheruiyot Guest Oct 4, 2021
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Jul 25, 2021
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Apr 16, 2021
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Faith Kariuki Guest Mar 10, 2021
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Feb 4, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Jan 15, 2021
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Oct 26, 2020
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Patrick Mutua Guest Oct 5, 2020
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Aug 4, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Jul 31, 2020
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Mar 25, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Mar 9, 2020
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Feb 22, 2020
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Feb 9, 2020
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Dorothy Majaliwa Guest Jan 16, 2020
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Jan 4, 2020
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Nora Lowassa Guest Oct 26, 2019
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Oct 18, 2019
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest Aug 13, 2019
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Aug 2, 2019
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest Jul 14, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest May 3, 2019
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Michael Mboya Guest Mar 29, 2019
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Chris Okello Guest Mar 21, 2019
Dumu katika Bwana.

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About