Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Featured Image

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaokusihi, tufurahie hali njema ya hewa na mvua tunayoitamani na kuhitaji. Tutumie daima vipawa vya wema wako kwa ajili ya utukufu wa jina lako, na kwa ajili ya wokovu watu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana watu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, daima na milele. Amina. `

`Baba Yetu................... Salama Maria............ Atukuzwe Baba........... `

K: `Bikra Maria mama wa msaada wa daima.... W: Utuombee na Utusaidie`

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Sumari (Guest) on July 1, 2024

Mungu akubariki!

Martin Otieno (Guest) on June 21, 2024

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Christopher Oloo (Guest) on May 15, 2024

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Sharon Kibiru (Guest) on May 11, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lydia Mutheu (Guest) on May 5, 2024

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Brian Karanja (Guest) on April 27, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Bernard Oduor (Guest) on March 17, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Samuel Omondi (Guest) on February 24, 2024

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Betty Akinyi (Guest) on February 17, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Grace Mushi (Guest) on December 21, 2023

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Joseph Kawawa (Guest) on December 3, 2023

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Moses Kipkemboi (Guest) on June 29, 2023

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Robert Ndunguru (Guest) on April 29, 2023

Endelea kuwa na imani!

John Mushi (Guest) on April 20, 2023

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Alex Nyamweya (Guest) on March 29, 2023

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Anna Mahiga (Guest) on August 21, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Janet Sumaye (Guest) on August 15, 2022

Katika imani, yote yanawezekana

Anna Kibwana (Guest) on July 7, 2022

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Elizabeth Mrema (Guest) on June 22, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Samson Tibaijuka (Guest) on January 7, 2022

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Alice Mrema (Guest) on January 3, 2022

Nakuombea πŸ™

Stephen Mushi (Guest) on October 19, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Moses Kipkemboi (Guest) on September 29, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Janet Mwikali (Guest) on April 13, 2021

πŸ™πŸ™πŸ™

Miriam Mchome (Guest) on December 30, 2020

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Esther Nyambura (Guest) on December 21, 2020

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Thomas Mtaki (Guest) on December 10, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Patrick Akech (Guest) on December 10, 2020

Imani inaweza kusogeza milima

Grace Mushi (Guest) on October 23, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Grace Majaliwa (Guest) on July 13, 2020

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Nancy Akumu (Guest) on July 2, 2020

Dumu katika Bwana.

Stephen Malecela (Guest) on February 17, 2020

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Anna Mchome (Guest) on February 1, 2020

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Nancy Kabura (Guest) on January 29, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Richard Mulwa (Guest) on November 26, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Alice Jebet (Guest) on November 23, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Agnes Sumaye (Guest) on September 12, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Carol Nyakio (Guest) on August 31, 2019

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Fredrick Mutiso (Guest) on August 22, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

Raphael Okoth (Guest) on August 9, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Robert Okello (Guest) on July 19, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Agnes Njeri (Guest) on May 4, 2019

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Diana Mallya (Guest) on April 6, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Michael Onyango (Guest) on February 6, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Ruth Mtangi (Guest) on January 9, 2019

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Edwin Ndambuki (Guest) on January 2, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

James Mduma (Guest) on December 8, 2018

Rehema hushinda hukumu

Catherine Naliaka (Guest) on August 22, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Grace Njuguna (Guest) on July 25, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Esther Nyambura (Guest) on May 7, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Mary Mrope (Guest) on April 30, 2018

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Simon Kiprono (Guest) on April 21, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Christopher Oloo (Guest) on February 11, 2018

Sifa kwa Bwana!

Elijah Mutua (Guest) on January 23, 2018

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Victor Kimario (Guest) on January 21, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Benjamin Masanja (Guest) on January 4, 2018

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Ann Wambui (Guest) on December 6, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Irene Akoth (Guest) on December 4, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Carol Nyakio (Guest) on November 16, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 25, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Related Posts

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About