Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasimama katikati ya Gari-Akasema; "Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,
Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977"
Abiria kuskia hivyo wakaogopa.
Ikabidi Mwizi Ajitokeze,
Akarudisha Pesa na Kuomba Msamaha! Mtu Mmoja akauliza,
Mzee,
Kwani 1977 Ulifanya nn?
Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani!
Uscheke Peke Yako, wa2mie na wengine ili nao wacheke!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Yahya (Guest) on July 24, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on July 5, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on July 5, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

John Mwangi (Guest) on June 5, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Kawawa (Guest) on May 14, 2024

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Wambura (Guest) on May 11, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mwanaidha (Guest) on February 8, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 6, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Ochieng (Guest) on December 31, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on December 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on November 28, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Diana Mallya (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kawawa (Guest) on November 25, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Peter Mugendi (Guest) on November 25, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Raha (Guest) on November 9, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Wangui (Guest) on October 28, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Kamau (Guest) on September 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 27, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on August 9, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Monica Nyalandu (Guest) on July 28, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on June 20, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rahma (Guest) on June 11, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Kimani (Guest) on May 24, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on May 15, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Malima (Guest) on May 5, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Baraka (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Christopher Oloo (Guest) on March 29, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 22, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Francis Mrope (Guest) on March 22, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Selemani (Guest) on March 22, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Kawawa (Guest) on March 14, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on January 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Makame (Guest) on January 28, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on January 9, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Mwambui (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Umi (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Sarah Karani (Guest) on January 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on December 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Zainab (Guest) on November 21, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 12, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

George Wanjala (Guest) on November 10, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Mushi (Guest) on November 2, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on July 29, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

George Ndungu (Guest) on July 25, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Robert Ndunguru (Guest) on July 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 22, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Makame (Guest) on July 16, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Wanjala (Guest) on July 1, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Kimotho (Guest) on May 5, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 25, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mwachumu (Guest) on March 31, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on March 21, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nuru (Guest) on March 18, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on February 7, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on January 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Related Posts

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles