Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

Jamaa: Muhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani mpe supu maana ninapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu. Watu wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi.
Jamaa: Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu kila mtu lazima alipe yake. Zogo lilianzia hapo…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Sokoine (Guest) on June 27, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Amir (Guest) on May 14, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mchome (Guest) on April 30, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on March 31, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Maida (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Wambura (Guest) on March 10, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Brian Karanja (Guest) on March 2, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 29, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mashaka (Guest) on February 23, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Hawa (Guest) on February 5, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Sarah Karani (Guest) on February 3, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on January 17, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Irene Makena (Guest) on December 29, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on November 26, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lydia Mahiga (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kenneth Murithi (Guest) on November 8, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Mgeni (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

John Mwangi (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on September 13, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mtumwa (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Diana Mallya (Guest) on August 8, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jane Malecela (Guest) on July 24, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Miriam Mchome (Guest) on July 23, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on July 14, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Njoroge (Guest) on July 7, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on June 27, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on June 20, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on May 21, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

John Malisa (Guest) on April 3, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Mushi (Guest) on March 17, 2023

😊🀣πŸ”₯

Diana Mallya (Guest) on February 11, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on February 7, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on January 25, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ruth Mtangi (Guest) on January 23, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Wande (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nuru (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Bernard Oduor (Guest) on October 28, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on October 26, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on October 3, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Anna Mchome (Guest) on August 31, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on August 30, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on August 28, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Rubea (Guest) on August 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Victor Sokoine (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Binti (Guest) on July 30, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Faiza (Guest) on July 25, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on July 22, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 11, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

James Kimani (Guest) on July 10, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Sarah Mbise (Guest) on July 6, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Henry Sokoine (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on June 13, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Faith Kariuki (Guest) on May 26, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Abdullah (Guest) on May 20, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on April 30, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

John Mushi (Guest) on April 17, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About