Kutubu na Kusamehewa dhambi

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-04-15 08:40:07πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Usiogope wala usisite kutubu na kuomba msamaha kwa Mungu. Uwe na Amani na Matumaini katika Huruma ya Mungu itokayo katika Upendo wake wa Mfano wa baba awapendavyo wanawe. Mungu anasubiri kukupokea kwenye mikono yake Ili akutunze kama mtoto wake kama utatubu na kumrudia yeye. Amua kumwendea leo! Anakungoja ni wewe tuu…

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
P
Peter Otieno2017-03-24 19:29:03
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
E
Edith Cherotich2017-02-28 20:34:52
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
M
Mary Njeri2017-02-02 07:18:02
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
F
Frank Macha2016-08-01 00:11:08
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
K
Kevin Maina2016-05-17 16:23:47
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
E
Elizabeth Malima2016-03-16 00:38:15
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
J
James Mduma2016-02-18 02:39:54
Sifa kwa Bwana!
C
Charles Mboje2016-01-14 07:06:34
Wakati wa Mungu ni kamilifu
V
Victor Kimario2015-08-17 12:23:12
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
E
Elizabeth Mtei2015-06-02 03:56:03
Rehema hushinda hukumu