Anachokiangalia Mungu

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-06-25 08:25:20πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Mungu haangalii matemdo ya mtu ya nje tuu, bali anaangalia ndani kabisa mawazo ya mtu na nia yake. Nia ya mtu ndiyo inayoonyesha mtu alivyo.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
A
Anna Mahiga2016-12-18 10:18:31
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
M
Miriam Mchome2016-02-27 21:13:31
Sifa kwa Bwana!
J
James Malima2016-02-23 05:17:20
Imani inaweza kusogeza milima
J
John Mwangi2015-11-25 07:01:36
Baraka kwako na familia yako.
L
Lydia Mzindakaya2015-11-25 01:45:25
Nguvu hutoka kwa Bwana
C
Charles Mchome2015-11-19 02:28:02
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
E
Edward Lowassa2015-11-18 13:37:19
Wakati wa Mungu ni kamilifu
A
Ann Wambui2015-11-06 11:32:38
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
P
Patrick Mutua2015-09-01 23:13:10
Rehema hushinda hukumu
D
Dorothy Mwakalindile2015-07-20 04:03:49
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe