Kuomba na Kushukuru

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-06-05 08:30:56πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Unapo mwomba Mungu Usisahau Kushukuru. Kushukuru ni kuomba mara ya pili. Utazidishiwa kile ulichokiomba na kupewa hata usichokiomba kwa shukrani yako.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
M
Miriam Mchome2017-02-13 04:36:08
Mungu ni mwema, wakati wote!
V
Victor Sokoine2016-09-10 06:19:55
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
M
Mariam Kawawa2016-04-06 23:12:05
Katika imani, yote yanawezekana
A
Agnes Njeri2016-03-21 22:58:49
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
S
Samuel Omondi2016-02-02 13:41:56
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
J
Joseph Mallya2015-07-05 22:10:23
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
G
Grace Majaliwa2015-06-08 09:23:35
Baraka kwako na familia yako.
B
Brian Karanja2015-05-04 22:34:06
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
D
David Musyoka2015-04-20 02:58:12
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
R
Rose Lowassa2015-04-06 06:43:35
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida