Njia ya Kumrudia Mungu

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-08-05 08:17:25πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Njia pekee ya Kumrudia Mungu tunapoanguka dhambini ni Njia ya Toba ya kweli ikiambatana na kukiri makosa na kusamehewa. Mara nyingi tunapotubu tunasahau dhambi za mawazo na kukumbuka za matendo tuu. Dhambi ya Mawazo pia ni dhambi yapaswa toba na maondoleo.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
L
Lydia Mutheu2016-04-28 18:18:12
Mungu ni mwema, wakati wote!
F
Francis Njeru2016-03-28 05:45:20
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
L
Lucy Wangui2016-03-23 14:58:39
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
S
Samson Mahiga2016-03-06 13:48:21
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
J
John Lissu2016-02-20 08:01:22
Rehema zake hudumu milele
G
George Ndungu2016-01-07 00:07:30
Mwamini Bwana; anajua njia
S
Stephen Kikwete2015-12-29 09:23:49
Neema na amani iwe nawe.
A
Anna Malela2015-11-03 02:01:04
Nakuombea πŸ™
J
Josephine Nduta2015-07-03 05:28:57
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
A
Agnes Njeri2015-07-01 04:23:59
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi