Jambo la muhimu zaidi Duniani

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-09-05 07:52:47πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Hakuna kitu cha Muhimu zaidi Duniani kama kumjua Mungu na kumuishi Mungu. Kila binadamu ameumbwa kwa ajili hii. Na Mungu anachotaka ndicho hichi, kumjua na kumuishi. Mengine yote ni maziada. Ukimuishi Mungu atakufanikisha katika yote.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
B
Bernard Oduor2017-01-17 00:55:53
Neema na amani iwe nawe.
L
Lucy Mushi2017-01-12 21:06:30
Neema ya Mungu inatosha kwako
D
Diana Mallya2016-09-10 19:28:00
Imani inaweza kusogeza milima
E
Elizabeth Mrope2016-08-26 23:42:39
Katika imani, yote yanawezekana
T
Thomas Mtaki2016-07-09 09:58:00
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
W
Wilson Ombati2016-06-13 14:20:05
Rehema zake hudumu milele
A
Alex Nakitare2016-03-29 12:04:51
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
R
Raphael Okoth2016-02-07 18:25:47
Mungu akubariki!
A
Anthony Kariuki2015-08-27 03:44:06
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
V
Victor Malima2015-04-01 16:31:57
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi