Kutubu na Kusamehewa dhambi

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-04-15 08:40:07πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Usiogope wala usisite kutubu na kuomba msamaha kwa Mungu. Uwe na Amani na Matumaini katika Huruma ya Mungu itokayo katika Upendo wake wa Mfano wa baba awapendavyo wanawe. Mungu anasubiri kukupokea kwenye mikono yake Ili akutunze kama mtoto wake kama utatubu na kumrudia yeye. Amua kumwendea leo! Anakungoja ni wewe tuu…

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
P
Patrick Mutua2020-05-30 22:35:25
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
T
Tabitha Okumu2020-04-03 14:12:34
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
I
Isaac Kiptoo2020-01-29 11:05:21
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
A
Alex Nakitare2020-01-03 16:13:34
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
M
Mary Sokoine2019-11-06 15:26:36
Mungu akubariki!
L
Lydia Wanyama2019-10-24 16:50:40
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
D
Dorothy Nkya2019-10-08 11:38:33
Rehema zake hudumu milele
J
Joseph Mallya2019-09-16 23:15:40
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
P
Peter Otieno2019-08-16 13:01:39
Endelea kuwa na imani!
A
Agnes Lowassa2019-05-11 03:34:57
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
J
Joseph Kawawa2019-05-06 10:49:34
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
B
Brian Karanja2019-04-09 06:40:12
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
D
David Ochieng2018-11-08 00:07:20
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
G
Grace Mligo2018-03-13 03:09:01
Kwa Mungu, yote yanawezekana
J
Joseph Kiwanga2018-02-14 19:07:57
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
J
Joseph Njoroge2017-12-24 17:57:00
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
M
Mary Kendi2017-05-01 12:01:27
Tumaini ni nanga ya roho
D
David Sokoine2017-04-26 11:50:28
Neema na amani iwe nawe.
S
Stephen Kikwete2017-04-02 12:56:42
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
C
Catherine Mkumbo2017-03-29 02:00:15
Neema ya Mungu inatosha kwako