Jambo la muhimu zaidi Duniani

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-09-05 07:52:47πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Hakuna kitu cha Muhimu zaidi Duniani kama kumjua Mungu na kumuishi Mungu. Kila binadamu ameumbwa kwa ajili hii. Na Mungu anachotaka ndicho hichi, kumjua na kumuishi. Mengine yote ni maziada. Ukimuishi Mungu atakufanikisha katika yote.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
R
Ruth Mtangi2020-02-06 23:53:19
Kwa Mungu, yote yanawezekana
J
Josephine Nduta2020-01-06 00:41:46
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
V
Victor Kamau2019-12-26 22:02:26
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
J
Janet Mwikali2019-12-11 00:37:48
Baraka kwako na familia yako.
J
Jackson Makori2019-11-10 04:02:32
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
C
Charles Mboje2019-11-05 04:03:26
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
M
Mary Sokoine2019-11-04 00:26:00
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
C
Carol Nyakio2019-10-07 05:08:51
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
R
Rose Waithera2019-09-27 02:42:10
Sifa kwa Bwana!
R
Ruth Mtangi2019-08-23 02:30:11
Rehema hushinda hukumu
V
Victor Mwalimu2019-05-05 17:51:47
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
H
Henry Sokoine2019-02-05 14:10:04
Mungu ni mwema, wakati wote!
R
Robert Okello2018-08-28 02:37:02
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
L
Lydia Mzindakaya2018-06-28 01:00:46
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
J
Janet Sumaye2018-04-12 16:45:37
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
E
Elijah Mutua2017-12-15 06:48:00
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
C
Charles Wafula2017-08-26 21:08:55
Nguvu hutoka kwa Bwana
V
Victor Kamau2017-06-29 19:47:57
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
F
Frank Macha2017-06-25 14:34:21
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
J
James Kimani2017-03-11 09:48:54
Endelea kuwa na imani!