Jambo la muhimu zaidi Duniani

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-09-05 07:52:47πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Hakuna kitu cha Muhimu zaidi Duniani kama kumjua Mungu na kumuishi Mungu. Kila binadamu ameumbwa kwa ajili hii. Na Mungu anachotaka ndicho hichi, kumjua na kumuishi. Mengine yote ni maziada. Ukimuishi Mungu atakufanikisha katika yote.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
G
Grace Wairimu2023-12-25 19:49:38
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
L
Linda Karimi2023-11-17 22:20:11
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
C
Chris Okello2023-09-21 06:44:36
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
A
Alice Wanjiru2023-07-29 12:58:32
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
J
Janet Sumari2023-05-30 13:27:44
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
G
George Tenga2023-03-05 22:56:14
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
B
Benjamin Masanja2022-12-12 08:22:12
Dumu katika Bwana.
D
Diana Mallya2022-07-29 13:16:50
Tumaini ni nanga ya roho
D
Diana Mallya2022-04-12 10:38:24
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
V
Violet Mumo2022-03-05 21:34:21
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
A
Alex Nakitare2021-08-07 03:45:50
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
N
Nancy Kawawa2021-08-03 13:54:15
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
A
Anna Kibwana2021-07-11 23:22:23
Tembea kwa imani, si kwa kuona
M
Mary Njeri2021-06-27 07:06:18
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
G
Grace Minja2021-02-01 19:03:12
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
A
Andrew Mahiga2021-01-19 08:56:43
Mwamini katika mpango wake.
J
Janet Sumaye2020-10-17 23:57:59
Mwamini Bwana; anajua njia
A
Anna Kibwana2020-07-11 21:30:47
Nakuombea πŸ™
E
Elizabeth Mtei2020-02-29 14:43:51
Wakati wa Mungu ni kamilifu
M
Mary Mrope2020-02-26 12:58:05
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao