Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Featured Image
Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..! !!
236 💬 ⬇️

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Featured Image
237 💬 ⬇️

Duh, hii sasa kazi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 💬 ⬇️

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?

236 💬 ⬇️

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Featured Image
237 💬 ⬇️

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Featured Image
238 💬 ⬇️

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About