Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Featured Image

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wang hata mimi nilikuwa nataka nikuambie hivyo hivyo

Β 

236 πŸ’¬ ⬇️

Biashara ambayo imefeli

Featured Image
238 πŸ’¬ ⬇️

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
236 πŸ’¬ ⬇️

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Huyu mke ni shida!

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Β 

236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About