Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image
Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake: JAMAA: Shem nakupenda! MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki yako akijua? tena koma! JAMAA: Ntakupa milioni 1! MKE: Basi njoo kesho mchana mume wangu akiwa kazini!
236 💬 ⬇️

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Featured Image
Wewe ni mzazi mwanao anasoma kidato cha tatu mkoani umemsafirisha leo kwenda shule baada ya masaa matano ukasikia gari alilo panda mwanao limepata ajali wamekufa watu wote upo ktk harakati za kuandaa msiba,
236 💬 ⬇️

Angalia uhuni wa huyu dereva

Featured Image
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin umewagonga awa watu? Jamaa akajibu,"nilikua mwendo wa kasi sana, alafu nimejaza abiria ndani, gari likawa linakuja mbele yangu nilipokanyaga breki zikakatika, sasa ningefanya nin?"
236 💬 ⬇️

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Featured Image

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako kwamba nimezini na mama yako, dada yako, shangazi yako, mama yako mdogo na mtoto wa shangazi yako.

 

236 💬 ⬇️

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Siku moja katika pitapita zangu nikakutana na mtoto mmoja mkali baraa yaani ni mzuri sanaaaa, moyo ukanituma nimuimbishe mtoto akakubali kwamba nitafute siku tukae tuongee vizuri akasema nimpe namba yangu ya simu.
236 💬 ⬇️

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Featured Image
236 💬 ⬇️

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Featured Image
Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About