Madhara yatokanayo na ukeketaji
ποΈ Ujana na Makuzi | Mapenzi na Ngono Salamaπ Kiswahili

Ukeketaji au tohara ya wanawake ni hatari sana kwa msichana
anayetahiriwa. Wasichana hufa kutokana na madhara yake
makubwa zaidi kwa vile:
- Hutokwa na damu nyingi.
- Uambukizo unatokea iwapo vifaa vilivyotumiwa
- havikuwa safi. Uambukizo unaweza kuenea mpaka katika
- Hatari ya kuambukizwa Virusi vya UKIMWI wakati wa
- Kuziba kwa mkojo na damu ya mwezi (hedhi) ndani ya
- Matatizo na maumivu makali wakati wa kujamiiana na
β
Direct PDF download
The download button now generates the PDF on the server. It no longer depends on an off-screen browser canvas, so the former blank-PDF capture path is bypassed.