· Osha mikono yako kwa sabuni kabla na baada
ya kutayarisha chakula
· Tumia vyombo safi na sehemu safi kwa
kutayarisha na kula chakula
· Viporo vipashwe moto vizuri kabla ya kula
· Chemsha maji ya kunywa na kuyaacha jikoni
dakika kumi baada ya kuchemka