Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha begi la daftari nje.....`ย 

`Ticha akauliza: Nani karusha begi nje!?!`*

`John: Mimi..... Kwa herii Mwalimu......` ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚