PRINTABLE ARTICLE LIBRARY

Article Downloads & PDFs

Find an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.

πŸ“—πŸ“˜πŸ“™ACKY
SHINE
PRINTABLE RESULTS

Mafundisho ya Msingi ya Kanisa Katoliki: Makala za Katoliki Β· 182

πŸ“„

Mafundisho na mapokeo Katika Kanisa Katoliki yanapopatikana kwenye Biblia

Wakatoliki wengi huyumbishwa kwa kuambiwa huamini mambo ambayo hayako au ni kinyume na Biblia. Aya zifuatazo zitakusaidia wewe mkatoliki kuelewa au kujua mistari ya Biblia inayofafanua imani katoliki.1) KUOMBEA MAREHEMU:2 Mak. 12:38-46Hek. 3:1Tob 4:172) MATUMIZI YA SANAMU NA VISAKRAMENTI2Fal 3:20-21…

Open printable article β†’
πŸ“„

Mambo ya kufahamu katika kipindi cha kwaresima

Nini maana ya Kwaresima? Kwa Kilatini na Kiitaliano neno Kwaresima lilimaanisha β€œ40” yaani siku 40 za kufunga za wiki kati ya Jumatano ya Majivu hadi Jumamosi Kuu. Kwa Kijerumani Kwaresima maana yake β€œKipindi cha kufunga.” Kwaresima ilianzaje? Kabla ya kuona Kwaresima jinsi ilivyoanza, ni vizuri kuo…

Open printable article β†’
πŸ“„

Maana ya siku ya Jumatano ya Majivu

Utangulizi Wakati umetimia na ufalme wa Mungu umekaribia, tubuni na kuiamini Injili, (Mk 1:15), haya ndiyo maneno ya kwanza ya Yesu ambayo kadri ya Mwinjili Marko yanafungua kazi ya hadhara ya Yesu, kwa maana hiyo kazi ya Yesu inaanza kwa kuwaandaa watu katika toba ili hatimaye, wapate kuukaribia au…

Open printable article β†’
πŸ“„

Ijue Ishara ya Msalaba

Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa paji la uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia na kutamka 'Kwa Jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Amina'.Kugusa paji la uso tuna maana kukubali kwa akili, kugusa kifua maana yake ni kupokea na kuupenda msalaba moyoni na kugusa Mabega maa…

Open printable article β†’
πŸ“„

Maana kamili ya Kwaresma

Neno kwaresma ni neno la kilatini liitwalo Quadragesima maana yake ni arobaini(40). Mpenzi msomaji, katika maisha ya kikristo kuna kipindi cha siku 40.majira haya ya kwaresma huanza siku ya jumatano ya majivu na kuishia jumapili ya pasaka siku ambayo wakristo wanakumbuka kufufuka kwa yesu kristo kut…

Open printable article β†’
πŸ“„

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

NIFUNGE NINI?Funga huzuni upate furaha,Funga ulabu upate siha,Funga majivuno upata utukufu,Funga uzinzi upate wongofu,Funga kisirani upate utakatifu, Funga umbea upate fanaka,Funga wivu upata baraka,Funga unafiki upate uchaji,Funga kinyongo upate faraja,Funga kwaresima wakati ni huu Funga kiburi uja…

Open printable article β†’
πŸ“„

MATATIZO YANAYORUDISHA UIMBAJI WA KWAYA KATOLIKI NYUMA

1.Kuwaimbia binadamu.Yaani tupo kwa ajili ya kuimba ili tusifiwe na watu.2.Kuimba bila tafakari.Mara nyingi tunaimba tu bila kuzingatia ujumbe Wa ule wimbo3.Kuimba bila kusali!Yasemekana Kuimba ni kusali Mara mbili.Waimbaji wengi hukariri wimbo na nyimbo nyingi zimetungwa kwa njia ya sala lakini wan…

Open printable article β†’
πŸ“„

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Kiitikio hicho tunakifahamu sisi sote; tunaitikia mara nyingi lakini je, tunaelewa umuhimu wake? Binafsi nikichunguza wakati wa maadhimisho mbalimbali ya Liturujia hasa Adhimisho la Ekaristi, ni baadhi tu ya waamini wanaoitikiaAmina sehemu mbalimbali wakati wa Misa. Waamini wengine huitikia kwa saut…

Open printable article β†’
πŸ“„

Faida ya kuabudu Ekaristi Takatifu

1.Kila saa moja tunayotumia kuabudu, inafurahisha moyo wa Yesu na hivyo majina yetu huandikwa mbinguni kwa ajili ya uzima wa milele (Mama Thereza wa Calcuta)2.Maisha ya kiroho ya familia zetu yanaimarishwa kwa njia ya saa ya kuabudu (John Paul II)3. Saa takatifu ya kuabudu ni ya muhimu sana kiasi kw…

Open printable article β†’
πŸ“„

Ufafanuzi wa Sala ya Baba yetu

Baba Yetu uliye mbinguni,jina lako litukuzwe;ufalme wako ufike,utakalo lifanyikeduniani kama mbinguni.Utupe leo mkate wetu wa kila siku,utusamehe makosa yetu,kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea.Usitutie katika kishawishi,lakini utuopoe maovuni.AminaUfafanuzi wake uliotumiwa na Fransisko wa Asi…

Open printable article β†’
πŸ“„

Zaburi ya Toba, Zaburi ya 51

Hii ndiyo Sala ya TobaZaburi 511 Ee Mungu, unirehemu,Sawasawa na fadhili zako.Kiasi cha wingi wa rehema zako,Uyafute makosa yangu.2 Unioshe kabisa na uovu wangu,Unitakase dhambi zangu.3 Maana nimejua mimi makosa yanguNa dhambi yangu i mbele yangu daima.4 Nimekutenda dhambi Wewe peke yako,Na kufanya …

Open printable article β†’
πŸ“„

Mafundisho makubwa ya Yesu Kristo

HeriBasi Yesu alipoona makutano, alipandamlimani akaketi chini, nao wanafunziwake wakamjia. 2Ndipo akaanza kuwafundisha,akisema:3 β€œWana heri walio masikini wa roho,maana hao Ufalme wa Mbinguni ni wao.4Wana heri wale wanaohuzunika,maana hao watafarijiwa.5Wana heri walio wapole,maana hao watairithi nc…

Open printable article β†’
πŸ“„

MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI

MITAGUSO MIKUU Yesu Kristo aliwakabidhi mitume kumi na wawili uongozi wa Kanisa wakiwa kundi moja lenye mkuu wake, yaani Petro. Vilevile waandamizi wao, yaani maaskofu wote, ni kundi moja na Papa wa Roma ndiye mkuu wao. Huyo peke yake, na kundi la maaskofu likiwa pamoja naye na chini yake, ndio weny…

Open printable article β†’
πŸ“„

Kwa nini Wakatoliki wanaungama dhambi kwa Padri?

KWANINI NYIE WAKATOLIKI MNAUNGAMA DHAMBI KWA PADRE AMBAYE NI MWANADAMU NA MDHAMBI BADALA YA KUUNGAMA MOJA KWA MOJA KWA MUNGU? Pengine umewahi kuulizwa swali hili au umewahi kujiuliza: hapa ni maelezo yatayokusaidia kuelewa sababu (japo sio zote) na uhalali wa jambo hilo. Hapa tunaongozwa na maneno y…

Open printable article β†’
πŸ“„

Mambo manne ya mwisho katika maisha

Mambo manne ambayo ni ya mwisho katika maisha ni;KifoHukumuMbinguniMotoniMambo haya yote yanaweza kutokea wakati wowote bila kujua wala kutarajiaKifoKifo ni kitu ambacho kinaweza kumpata mtu yeyote wa umri wowote awe mtoto kijana au mzee na kwa wakati wowote.Maranyingi watu hawapendi kuongelea kuhus…

Open printable article β†’