Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake
WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown?? HUSBAND: Yule ni Theo Walcott WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?
Open printable article βFind an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.
WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown?? HUSBAND: Yule ni Theo Walcott WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?
Open printable article βJamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake: JAMAA: Shem nakupenda! MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki yako akijua? tena koma! JAMAA: Ntakupa milioni 1! MKE: Basi njoo kesho mchana mume wangu akiwa kazini!
Open printable article βPadri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani peke yake. Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama {confess} "Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya dhambi kubwa sana." Padri, "Endeleaβ¦"
Open printable article βSiku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye A.T.M binti akaamua kujificha na kumtumia boyfriend wake sms ya kimahaba
Open printable article β<p>MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.<br />MHUDUMU: Nikusaidie nini?<br />MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia<br />Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"</p>
Open printable article β<p>Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.</p><p>Utasikia,<br />"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.<br />MA-MDOGO UNAENDA?,<br />NGOJA ASHUKE BIBI.<br />HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.<br />Babu njoo ukae!<br />Baba angu hapo tusogee kidogo,</p><p>Β </p>
Open printable article βMuda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimuakasema: yeyote atakaye jibu swali langu lolote kwa usahΓ¬hi ataondoka asiye jibu atabaki.Dogo mmoja akatupa begi nje ya dirisha.Mwalimu akauliza nani katupa ilo begi nje?Dogo akajibu fasta mimi. Akafungua mlango akaenda kwao.neno moja kwa dogo
Open printable article β<p>Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi<br />1. nitakupa<br />2. Atapewa mbele<br />3. Hujapewa mbele?<br />4. Utapewa nyuma<br />5. Nitakupa nikikaa vizuri<br />6. Ngoja isimame nikupe</p>
Open printable article β<blockquote><p>Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEKUAJE?</p></blockquote>
Open printable article β<p>MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"<br />MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."<br />jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku</p><p>JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala<br />asubh wanakunywaΒ </p>
Open printable article β<p>Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.</p><p>Swali la kwanza,<br />Taja vyakula vi3 ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1)</p><p>WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo.<br />WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop. Swali la</p><p>Β </p>
Open printable article β<p>Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;</p><p>JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona</p>
Open printable article β<p>Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshaharaβ¦.. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.</p><p>Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.</p><p>Mama: Nani kakuambia?</p>
Open printable article βNIMEKAA NIKAWAZA ππΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIππ» WAAFRIKA HATUYAJUI π KAMA TUNGEKUWA TUNAYAJUA HATA HAWA WAMAREKANI,πΊπΈWACHINAπ―π΅ NA HATA WATU WA ULAYA TUNGEKUWAπ½πͺ TUNAWAPITA KIMAENDELEO MAMBO YENYEWE,, HATA MIMI SIYAJUI MAANA NA MIMI NI MWAFRIKA ππππ
Open printable article βHABARI MPASUKO..jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea Nyoka hatar san Ambaye hajawah kutokea duniania.. wanadai kwamba nyoka huyo anaongezeka ulrefu wa 0.5sm kila akila chakula na huwa anakula chakula kuanzia sekunde 30 kurudi nyuma.. mpaka sasa hakuna siraha ya kuβ¦
Open printable article β