Angalia huyu mgonjwa
Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.Daktari: hilo tatizo lilianza lini?Mngojwa:tatizo lipi?πππππππ
Open printable article βFind an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.
Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.Daktari: hilo tatizo lilianza lini?Mngojwa:tatizo lipi?πππππππ
Open printable article βEt jana usiku mwiz kavunja mlango kwanguakaanza kutafuta kitu kila kona ikabidna mie niamke namuuliza unatafuta nini ananijibu hela ndipo nilipoanza na mie kutafuta naemaana hta hela ya kula Jana sikuanayo alichoka zaid nilipomuliza una uhakika uliweka humu?*sipendagi ujinga
Open printable article βJamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy alialikwa. Akakuta mlango wa2 umeandikwa kulia wenye zawadi kushoto wasionazawadi yy hakuwa na zawadi. Mlango Wa 3 umeandikwa kulia wanawake kushoto waumeβ¦
Open printable article βLeo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoaβ¦..*nataka ujinga kwan mimiπππ*Sahv narudi zangu kwa mguuπ©
Open printable article βπUjinga wa ndoto ndiyo huuβ’β’Utaota umeokota dolla ukiamka emptyβ¦β’β’Utaota umeokota dhahabu ukiamka kitandani patupu daadeeki OTA Sasa UMEKOJOAβ¦..ππππππ
Open printable article β*Upendo wa kweli ni nini?**πUpendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake na kisha kumwambia baby vaa nguo twende nyumbani**Kifo ni nini?**πKifo ni pale mwanamke anapokubali kwenda nyumbani na mwanaume yule.*ππππππππππππ
Open printable article βLooku Looku* ππ*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hiiβ¦.!!**Ishawahi kutokea Pale nilipokutana njiani na mwalimu aliyekufundisha MATHS secondary afu akaniambia nimuelekeze njia ya kwenda sehemu fulani.**_Nenda mbele kama 2KM hivi kisha kata kushoto,ila hakikisha ANGLE inakuwa ni 3β¦
Open printable article βAkikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama umeoa KIPAZA SAUTI ππππππNdio maana mimi nafungaga condom na hela kwa pamojaβ¦ akivikuta anachukua hela na kuishia kusonya tu.. πππππππHuwa sipendagi ujinga Mimiπ‘π‘π‘π‘π‘π‘
Open printable article βMzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasemaβ¦
Open printable article βJamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kunadada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa mudakisha halafu akamuuliza "Samahani dadaunaitwa Google?".Dada: "hapana, kwanini umedhani naitwahivyo?". Jamaa: "Una kila kitu nnachokitafuta"π πππππππππ
Open printable article βTeacher: Who is a pharmacist?Shemdoe raised up his hand.Teacher: So itβs only Shemdoe that can tell who a pharmacist is in this class? So there is no body else to answer the question except Shemdoe? (There was no reply from the students)Teacher: Ok now Shemdoe, chukua hii fimbo, charaza vilaza hawa β¦
Open printable article βTicha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..John kusikia hivyo....Karusha begi la daftari nje.....` `Ticha akauliza: Nani karusha begi nje!?!`* `John: Mimi..... Kwa herii Mwalimu......` ππ,ππ
Open printable article βPAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA KIDOGOβ¦BADO NI MAUTI VILEVILEππππ
Open printable article βNi noma!Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa binti uliyemlea kwa miaka 20 sio mtoto wako" Mume akamjibu:- "Duh! Nashukuru Mungu kwani nilikuwa nikiumia rohoni kila siku kwamba nazini na binti yangu" πππππππππ πππππππππ
Open printable article β01.π Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.02.π Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa wanafunzi walioshika nafasi ya kwanza.03.π Wale waliokuwa wa tatu, wanageukia Siasa na kuwaongoza wote hapo juu. Yaani wa kwanza na wa β¦
Open printable article β