πMadhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata
Kubeba nauli kamili nayo ni shidaYani nimepanda daladalaKondakta mmoja akaingia kwenye Gari amevaa suti za blue za daladala na miwani Kisha akakusanya pesa Gari Zima alafu akakaa siti ya nyuma baade Kondakta mwingine akaanza kukusanya pesa watu wakalalamika na kusema tayari tumelipa na kumuonyesha tβ¦
Open printable article βπWadada lenu hili. Mimi sipo
Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..Sisi ni Wanaume,Sio MINYOOππππ
Open printable article βπHaya ndiyo madhara ya kulala kanisani
Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema" SIMAMA"Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimamaPastor akaendelea vizur endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sβ¦
Open printable article βπWanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari
MDADA: Baby nikwambie kituMKAKA: Yeah Baby Uko huru nambieMDADA: nilikua naomba hela babyβΊMKAKA: WW nae kwa kupenda hela jana tu nmekupa hela Leo unaomba ya nn πMDADA: hapanaπ Bby sio hivyo nlikua nataka nikashuhudie tetemeko la ardhi BUKOBA nasikia huko linaonekana vizur .ππππππππWanawake kumbukeniβ¦
Open printable article βπMapenzi Stress tupu
Stress TupuUnapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ????"Unashtuka ??β¦. Una muuliza kulikoni? ????Anakujibu: "Sorry Sio Sms yako?"Hapo Ndo utajua Kwanini Hakuna Mmasai Albino??????
Open printable article βπAcha usumbufuβ¦
UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJAHIVI ULIDHANI MWL.NYERERE ALISHINDWA KUKAA NA MKEWE MARIA KWNY NOTI YA BUKUπππππππAcha Usumbufuβ¦..
Open printable article βπMAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA
1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;3. Huwezi kupumua kwa Pua na huku umetoa Ulimi;4. Unajaribu kufanya namba 36. Umeona inawezekana, sanasana unakuwa Kama Jibwa;7. Unatabasamu kwa kuwa umejiona Mjinga!8. Umeruka namba 5;9. Unahakikisha Kama kweli 5 haipo.10. Unacheka kwβ¦
Open printable article βπGari na mke nini muhimu?
GARI YA MILIONI 50UNALAZA NJEβ¦mke wa laki sitaunalala nae ndaniβ¦.BANGI SI NZURI JAMANππππππππ
Open printable article βπWatu wana vimaneno
Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tuDah!!Nimecheka hadi basi leoπΈπΈπΉπΉ
Open printable article βπAngalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi
*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:**Teacher:* `Who is a pharmacist?`*Shemdoe:* ππΏ _(raised up his hand.)_*Teacher:* `So itβs only Shemdoe that can tell who a pharmacist is in this class? Thus, no body else to answer the question except Shemdoe?`_(There was no reply from the students)_*Teacherβ¦
Open printable article βπIngekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?
Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisemaβ¦. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiwekajuu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndβ¦
Open printable article βπMadenge hakosi visa. Soma hii
MADENGEHAKOSIVISAbaada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zawadi yoyote aipendayoMADENGE: naomba pesa nikamuoe bibi maana siku nyingi amekuwa akiniita mchumba wake.BABA: Shenzi, yule ni mama yangu mzazi huwezi kumuoa.MADENGE: Mbona wewe umemuoa mama yangu mzazi sijasema kitu ww inakuuma? β¦
Open printable article βπKizungu nacho ni sheeeedeer
Mtalii: Do you have vegetables here.Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.Mtafsiri: No sir, they don't have.Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.Mtafsiri: They don't cook hereMtalii: What type ofβ¦
Open printable article βπMchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi
*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.**mchaga* : _chips yai bei gani?_*mhudumu*: _elfu 2_*mchaga* : _zina kachumbari?_*mhudumu*: _ndio!_*mchaga*: _kachumbari mnauzaje?_*mhudumu*: _kachumbari ni bure._*mchaga*: _ok basi naomba kachumbari sahani mbili, chips ziache tuuu_.ππππππππππ _SIPENDI UJINGA MIMI_π₯
Open printable article βπHuyu mlinzi bwana
High school Flashback!!.Watchman : Amkeni muende morning preps.Allan : Mimi ni mgonjwa.Watchman : Unaumwa na nini hiyo?Allan : Bionomial Nomenclature.Watchman : Eeh, lala tu kijana. Hiyo kitu nimbaya. Imeuwa watu South Africa.ππππππππππ#_Sipendagii ujinga kabisaa mimi
Open printable article β