๐Ulaji mzuri hupunguza uwezekano wa kupata shinikizo la chini la damu
Ni mhimu kula mlo kamili kila siku. Kula lishe duni kunaweza kupelekea kuzalishwa kwa damu isiyo na afya inayoleta shinikizo la damu.Kula zaidi vyakula vyenye protini, vyenye vitamini B na C kwa wingi. Kula milo midogo midogo hata mitano kuliko kula miwili au mitatu lakini ya nguvu sana.Unaweza kutuโฆ
Open printable article โ๐Vyakula vinavyofaa kutumiwa kwa mtu mwenye kisukari aina ya kwanza
Vyakula hivyo ni;MaharageNyanyaSamakiMboga za majani zenye rangi ya kijaniMatunda jamii ya machungwaMafuta ya naziViazi vitamuVyakula ambavyo havijakobolewaMaziwa yasiyo na mafuta ndani yakeMbegu za mabogaMtindi usio na mafuta ndani yake
Open printable article โ๐Faida za kufanya Masaji kiafya
Masaji uongeza kinga ya mwiliMasaji kushuka kwa homoni inayohusika na kupunguza maambukizi mbalimbali homoni ijulikanayo kama โcytokinesโ vile vile masaji inashusha homoni inayohusika na matendo ya mashari homoni ijulikanayo kama โcortisolโ.Kufanya masaji hakukufanyi ujisikie ni mtulivu peke yake, bโฆ
Open printable article โ๐Njia za kutibu shinikizo la chini la damu au presha ya kushuka
๐Kutibu shinikizo la chini la damu kwa kutumia maji chumviKunywa Maji yenye chumvi husaidia kutibu shinikizo la chini la damu sababu sodiamu iliyomo kwenye chumvi hupandisha juu shinikizo la damu. Usizidishe dawa hii kwa sababu chumvi nyingi kuzidi ina madhara kiafya.Matumizi:Changanya nusu kijiko cโฆ
Open printable article โ๐Faida za mafuta ya nazi kiafya kwenye mwili
Huzuia na kutibu tatizo la kupoteza kumbukumbuWakati mafuta ya nazi yakiwa yamemengโenywa na mwili huhamasisha uundwaji wa nguvu mpya za ubongo zijulikanazo kama โketonesโ.Ketones zina uwezo wa kusambaza nguvu katika ubongo hata kama insulin itakuwa chini ya kiwango kama matokeo ya ugonjwa wa kupoteโฆ
Open printable article โ๐Soma hii Kabla hujafikiria kula nyama ya nguruwe tena
JEE NYAMA YA NGURUWE (KITI MOTO) NI SALAMA KWA BINADAMU???Hapa huwa kuna mvutano wa kidini sana juu ya nguruwe, Ila Leo napenda kuliweka sawa, kitaalamu kwa mujibu wa MEDICINE (Science)!!Nguruwe ni mnyama anaeliwa na 38% ya watu wote duniani Na walaji wake ni nchi Magharibi na Kusini mwa Asia, Europโฆ
Open printable article โ๐Jinsi ya kuondoa kitambi na kupata afya nzuri
โโpiga chini kitambiโโ Mahitaji ๐นTikiti๐ 1 ๐นTangawizi kidogo ๐นLimao nusu ama apple cider vinegar โNjiaโ ๐ฒSafisha matunda yako Kwa maji Safi,menya tikiti๐,katakata weka kwenye Brenda , ๐ฅMenya tangawizi katakata Ila usiweke nyingi,weka kwa Brenda, ๐Kamulia limao kwenye matunda yako saga,baada ya hapo โฆ
Open printable article โ๐Chanzo na Matibabu ya Tatizo la Mtindio wa Ubongo (Kupooza ubongo)
Tatizo la Mtindio wa Ubongo au Kupooza ubongo kitaalamu ni Cerebral plasy (CP), ni hali ya kupooza ya moja kwa moja ya viungo vya mwili inayotokana na sehemu ya ubongo (seli) inayotawala viungo hivyo kufa katika kipindi cha mwanzo cha maisha (Utototni).Mtindio wa Ubongo ni aina ya tatizo la mishipa โฆ
Open printable article โ๐Faida za kula Tende kiafya
Zifutazo ni faida zitokanazo na ulaji wa tende; 1. Tende huongeza nguvu kutokana na kuwa na sukari ya asili, unaweza kuchanganya na maziwa na kupata mchanganyiko bora. 2. Tendehuzuia meno kuoza, na ni tiba nzuri kwa wagonjwa wa anemia kutokana na kuwa na madini mengi ya chuma. 3. Hupunguza uwezekanoโฆ
Open printable article โ๐Madhara ya Kuvaa viatu virefu wakati wa Ujauzito
Wakati wa ujauzito ni kipindi cha kubadili mambo mengi katika mfumo wa maisha wa mjamzito. Mjamzito anapaswa kubadili mambo mbalimbali ili kuhakikisha anakua na afya nzuri katika kipindi chote cha ujauzito na ili kuhakikisha kwamba atajifungua mtoto mwenye afya nzuri. Moja ya mambo makubwa ni pamojaโฆ
Open printable article โ๐Mambo ya kuzingatia kuhusu ugonjwa wa Kaswende
Kaswende husababishwa na bakteria aitwaye Treponema pallidum , ambaye pia huitwa spirochetes kutokana na umbo lake la mzunguko. Viumbe hawa hujipenyeza kwenye ngozi laini inayotanda midomo au sehemu nyeti. Yafuatayo ni mambo Muhimu ambayo unapaswa kuyafahamu kuhusu Ugonjwa wa Kaswende. Jinsi ugonjwaโฆ
Open printable article โ๐Jinsi ya kuongeza kiasi cha utokaji wa maziwa kwa kina mama wanaonyonyesha na kwa afya ya mtoto
Maziwa ni chakula kikuu cha mtoto punde anapozaliwa. Mama anahitaji kuwa na Maziwa ya kutosha ili mtoto aweze kuwa na afya. Zipo sababu mbalimbali zinazopelekea wakina mama wengi kushindwa kuzalisha maziwa mengi kwa ajili ya kuwanyonyesha watoto zao. Hata hivyo kama wewe ni mama na una tatizo hilo bโฆ
Open printable article โ๐Mambo 8 ya kushangaza yanayofanywa na mwili wako kukulinda pasipo wewe kujua
Mwili wa binadamu unafanya mambomengi ya kibaiolojia ambayo maranyingi ni vigumu kuyaelewa. Mwili una mifumo mbalimbali ya ulinzi ambayo inatulinda na hatari zinazoweza kutudhuru. Mifumo hiyoinatulinda masaa 24 ya siku, Siku zote 7 za wiki, katika mambo yoteyanayoweza kuhatarisha maisha yetu.Yafuataโฆ
Open printable article โ๐Ifahamu Saratani ya Tezi Dume, chanzo, Dalili, Uchunguzi na Tiba
Tezi Dume ni nini? Tezi dume (prostate), ni tezi iliyo kwenye kizazi cha mwanaume inayozalisha maji maji yanayobeba manii/shahawa. Inaizunguka urethra, mrija unaotoa mkojo kwenye kibofu kwenda nje. Tezi dume ya kila mwanaume huongezeka ukubwa kadri umri unavyoongezeka. Kadri tezi inapokua na kuongezโฆ
Open printable article โ๐Aina ya mazoezi na umuhimu wa mazoezi kwa wamama wajawazito
Leo tutaongelea mazoezi gani ya kawaida ambayo mama mjamzito anaweza kuendelea kuyafanya kila siku ya ujauzito wake na umuhimu wake.Mazoezi wakati wa ujauzito yanasaidia:1. Kupata usingizi mzuri usiku.2. Kuondoa stress.3. Kulegeza na kunyoosha misuli ya uzazi na kuitayarisha kwa kazi ya kujifungua.4โฆ
Open printable article โ