๐Hichi ndicho unatakiwa uwe nacho kulingana na umri wako
20 - 25 =Iwe kama ni kielimu hujafikia malengo yako,sitisha mara moja tafuta kazi/biashara ya kufanya,pigana kufa na kupona ili kama vipi urudi shule kwa pesa yako.25 - 30 = Hakikisha uwe na angalau na SHUGHULI RASMI kama umeajiliwa au umejiajili.30 - 35 = Uweโฆ
Open printable article โ๐Jaribu kufikiria haya
1. Uelekeo ni muhimu kuliko kasi. Ni heri kwenda taratibu katika Uelekeo sahihi, kuliko kwenda kwa kasi katika Uelekeo usio sahihi.2. Kulalamika mambo hayaendi wakati wewe mwenyewe hujui unakokwenda ni kuwa na matatizo ya akili.3. Kasi yako inaamuliwa sana na โฆ
Open printable article โ๐Wazo mbadala kuhusu ajira au kupata kazi
Katika mambo ambayo nadhani nimeshawahi kujidanganya ni kufikiri kwamba nikipata kazi ndiyo utakuwa mwisho wa matatizo yangu na kuwa huru kufanya kila kitu ninacho kitaka.๐๐๐๐๐Sasaa baada ya kuipata iyo kazi nimekuja kupata ukweli kwamba kumbe kazi ya kuajiriwโฆ
Open printable article โ๐BADILIKA : huu ni mwaka mpya
**Badilika huu mwaka. Kipenga kimeshapulizwa wenye mbio zao wameshatoka, wewe bado uko kitandani unaandika happy new year kwenye mitandao ya kijamiiKipenga kimeshapulizwa wewe maliza bajet yote leo kwenye starehe alafu uanze kulalamika eti Mwezi wa kwanza Mgumโฆ
Open printable article โ๐JITAMBUE : Maisha yako ya kesho hayalingani na maisha yako ya jana, Anza sasa
THERE IS NO FUTURE IN THE PAST.** Ukitaka kufanikiwa usiangalie nyuma yako kunanini na ulishindwa mara ngapi. Siku zote kukaa Chini nakuanza kujuta kwa makosa uliofanya uko nyuma nikupoteza muda, huo muda Utumie kwa kupanga ya kesho.Bahati nzuri Mungu alitujalโฆ
Open printable article โ๐Ujumbe kwa leo
Kuna baadhi ya LEVEL huwezi kufikaโฆKuna MAFANIKIO huwezi kuyafikiaโฆKuna HELA huwezi kuzipataโฆKama umezungukwa na watu BASICโฆKuanzia asubuhi mpaka jioni wanaongelea WATU TU..Fulani kamegwa na yule..halafu yule naniliu saivi anatembea na yule ex wa naniiโฆAsubuhiโฆ
Open printable article โ๐Wewe ni mshindi: Mambo yakuzingatia ili uweze kushinda chochote katika maisha
Mshindi ni mtu aliyeshinda, Hivyo wewe ni mshindi kwa kuwa umeshinda, kuwa hai leo ni ushindi, kuwa na Mungu mpaka sasa huo ni Ushindi, kuweza kujifunza semina na kufuatilia mafundisho kama haya wewe ni mshindi.Ebu jiulize ni watu wangapi ulikuwa unawafahamu lโฆ
Open printable article โ๐Siri za mafanikio na Jinsi ya kufanikiwa
Tafuta fursa kila kona.Tumia kipaji chako.Kuwa na nidhamu katika fedha - matumizi mazuri ya pesa, nidhamu kwa watu wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.Kuwa na nidhamu katika afya yako: Afya ndio mtaji sahihi katika biasโฆ
Open printable article โ๐JINSI YA KUTENGENEZA BATIKI
Batiki inatengenezwa kama ifuatavyoMAHITAJI:1.Vibanio vyenye urembo mbalimbali.2.Sponji zenye urembo mbalimbali.3.Brash kubwa/ndogo.4.Meza kubwa yenye urefu wa mita moja mpaka mbili.5.Sufuria.6.Vitambaa vya mpira.7.Misumari midogo.8.Jiko.MADAWA:1.Sodium hydrosโฆ
Open printable article โ๐Ushauri wangu kwa leo
Kuna watu wengi sana huwa wanani-challenge ninaposema kwamba ni muhimu sana mtu kuishi katika kusudi la maisha yake. Na moja kati ya hoja zao ni kwamba haya maisha ya sasa mtu akisema aanze kutafuta kusudi la maisha yake atakufa maskini. Hivyo wanaonelea ni boโฆ
Open printable article โ๐Kwa ushauri huu jitambue upate mafanikio
Ukiona unalala masaa 9 wakati Donald Trump analala manne tu. Afu unaamka huna nauli na bado kesho unalala masaa manane tena.. Ujue unashabikia mafanikio.Ukiona Bill Gates anasoma kitabu kimoja kwa wiki. Na wewe unasoma kimoja kwa miezi sita ujue nod maana kunaโฆ
Open printable article โ๐Nia yako isishindwe
Nimejifunza jambo kubwa sana ambalo sote tuna lijua nalo ni "NIA".Nimemtazama mwendesha pikipiki anaiwasha pikipiki kwa muda mrefu kwa kupiga kiki kwa kurudia rudia, akiamini lazima iwake ili aende anakotaka kwenda. Anajaribu kuwasha kwa kiki ikikataa anajaribโฆ
Open printable article โ๐MAFANIKIO YA MAISHA SIO ELIMU TU, UTHUBUTU, KUJIAMINI NA UJASIRI WA MAAMUZI
โ๐ฝUkichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa. ๐๐พKatika miji na maeneo yote; wenye majengo ya maana, wenye makampuni makubwa, wenye utitiri wa malori na mabasi, wenye maduka makubwa ni wโฆ
Open printable article โ๐Jifunze kitu kupitia kisa hiki cha boss na mwajiri wake
BARUA YA BOSI ILIBADILI FIKRA ZANGU KUHUSU PESA KATIKA DAKIKA ZA MWISHO ZA MAISHA YANGUDuna Lawrence (78) ni raia wa Togo ambaye alijitosa kwenda nchini Ujerumani kutafuta maisha mwanzoni mwa miaka ya 80. Baada ya kufika huko, alipata kazi, akawa muaminifu kwaโฆ
Open printable article โ๐Mizigo tuliyoibeba ambayo haina faida
1.๐ฅUmejipa jukumu la kuwa "mpelelezi" wa maisha ya wengine na umesahau maisha yako.2.๐ฅUmebeba vinyongo na visasi moyoni vinavyokufanya uwafikirie waliokuumiza zaidi kuliko kufikiria furaha na maendeleo yako.3.๐ฅ Una marafiki wengi ambao ni kama kupe, wapo kukutโฆ
Open printable article โ