πMadhara yanayotokea kwa unyanyasaji wa jinsia kwa mtu
Unyanyasaji wa ujinsia una matatizo mabaya ya kimwili nayanayochukua muda mrefu kwa mwathiriwa kupona. Unyanyasajiwa jinsia mara nyingi humuumiza mwathiriwa, matendo yaubakaji, majaribio ya ubakaji, unyanyasaji wa kijinsia kwa mtoto,na ukeketaji kwa wanawake yanamhusu moja kwa moja mwiliwa mwathiriwβ¦
Open printable article βπUwezekano kwa msichana au mwanamke aliyebakwa kupata mimba
Inawezekana kwa msichana au mwanamke aliyebakwa kupatamimba. Uwezekano wa kupata mimba ni sawa kama vile amekubalimwenyewe au kulazimishwa. Iwapo mwathiriwa atamwonamhudumu wa afya mara baada ya kubakwa anaweza kupatadawa za dharura za vidonge vya kuzuia mimba na uwezekanowa kupata matibabu ya kuzuiβ¦
Open printable article βπHaki zinazokiukwa iwapo mvulana au msichana wamelazimishwa kuoa au kuolewa
Nani na lini unaoa ni maamuzi yako binafsi wewe mwenyewe,hata kama rafiki na wazazi wanakushauri juu ya jambo hilo.Kumlazimisha mtoto kuoa au kuolewa ni kumchukulia mtu uhuruwa anavyopenda kuishi. Haki ya kuchagua kuoa, ama kuolewaau kuanzisha familia yako huwa imegeukwa. Haki hii ni sehemuya makubaβ¦
Open printable article βπMwanamume au mvulana anaweza kubakwa?
Ndiyo, mtu yoyote anayelazimishwakujamiina atakuwaamebakwa, haijalishi kamamtu huyu ni mwanamke/msichana, mwanaume aumvulana.Wavulana na wanaumewanaweza kubakwa nawanaume wenzao au wanawezakulazimishwa na mwanamkekujihusisha na tendo lakujamiiana. Wanaume wanawezakulazimisha wavulanakujamiiana kwa nβ¦
Open printable article βπJinsi ya kujikinga na ubakaji
Hata kama utafanya kila kitu usibakwe bado inaweza ikatokea. Ubakaji na unyanyasaji wa ujinsia unaweza kutokea kwa kila mtu. Hata hivyo kuna baadhi ya vitu ambavyo vinaweza kupunguza hatari ya kubakwa. Jizuie usiwe peke yako kwenye giza, kutembea peke yako katika misitu au sehemu ambazo zina watu waβ¦
Open printable article βπSheria zinazohusiana na ndoa za kulazimishwa
Sheria ya msingi ya ndoa nchini Tanzania ni Sheria ya ndoa yaBunge, iliyopitishwa mwaka 1971. Sheria hii inakataza ndoa zakulazimisha. Inatambua ndoa kama ni muungano kati ya mumena mke ambao kwa hiari yao wameamua kuishi kama mume namke. Sheria hiyo inasema kwamba iwapo ndoa haikuwa ya hiari,basi hβ¦
Open printable article βπWatu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?
Iwapo mtu amelazimishwakuingia katika hali ya ndoa(kuoa/kuolewa) na msichana/mvulana ambaye hampendi,hatua ya kwanza ni kukataandoa hiyo na kuonyesha waziwazi. Jadiliana suala hili nawazazi wako. Waeleze kwaheshima kwa nini hukubalianina ndoa hiyo.Kwa kawaida wazazi wanape-nda mambo mema kwa watoto β¦
Open printable article βπUkeketaji ni nini?
Katika baadhi za jamii viungo vya uzazi vya nje vya msichana,yaani kisimi au sehemu ya ndani na nje ya mashavu ya ukeyanakatwa na kuondolewa kabisa. Huu ndiyo ukeketaji aukutahiriwa kwa mwanamke.Wakati mwingine uekeketaji hufanyika katika umri wa miezi yamwanzo ya maisha ya mtoto wa kike. Mara kwa mβ¦
Open printable article βπUshauri kwa mtu aliyebakwa
Jambo la kwanza jaribu kumwondoa hofu mwathiriwa namuliwaze maana amepata jambo la kutisha. Na iwapo mtuamejeruhiwa sana mpeleke katika kituo cha huduma za afyakilicho karibu mara moja. Vinginevyo ongozana na rafikiyako kwenda kituo cha Polisi na kutoa taarifa kuhusu jambolililotokea. Polisi watampaβ¦
Open printable article βπNdoa ya kulazimishwa
Ndoa ya kulazimishwa ni ile ambayo mwanamume au mwanamkeanaozwa bila yeye mwenyewe kukubali kufunga ndoa kwahiari yake. Katika mazingira hayo wasichana au wavulanawanalazimishwa kufunga ndoa. Wakati mwingine wazazi wanafikiriwanajua nini kizuri kwa watoto waona hivyo kuwachagulia mumeau mke.Mara nyiβ¦
Open printable article βπSababu za ukeketaji
Hakuna hata mmoja anayejua hasa kwa nini, na lini desturiimeanza. Jamii inatoa maelezo tofauti kwa nini wasichanawanatakiwa watahiriwe. Sababu zifuatazo zimetolewa kufanyadesturi hii: mila na utamaduni, dini, usafi, kulinda ubikira, kukaabila kuzini.Kila mara sababu zinazotolewa za kuondoa au kukataβ¦
Open printable article βπMadhara yatokanayo na ukeketaji
Ukeketaji au tohara ya wanawake ni hatari sana kwa msichana anayetahiriwa. Wasichana hufa kutokana na madhara yake makubwa zaidi kwa vile: Hutokwa na damu nyingi. Uambukizo unatokea iwapo vifaa vilivyotumiwa havikuwa safi. Uambukizo unaweza kuenea mpaka katika viungo vya ndani vya uzazi na kusababisβ¦
Open printable article βπSheria gani zimetungwa kuhusu ukeketaji?
Serikali zote na mashirika ya kimataifa wameweka mdhamanana kukubali kulinda haki za binadamu. Tanzania imetia saini yamapatano na mikataba ya kimataifa inayohakikisha kuwa kilamtu ana haki kwa afya na haki ya kuwa huru kutokunyanyaswakwa mfano katika Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Haki zaBinadamβ¦
Open printable article βπMsaada juu ya ukeketaji
Unaweza ukajaribu kuzungumza na wazazi wako kwambaukeketaji ni desturi mbaya, na pia unaweza ukamtafuta mtuwa kukusaidia ambaye ni mwaminifu. Msaidizi anaweza akawarafiki, mlezi, mzazi au mtu mzima katika familia ambayeunaweza kumwamini. Katika jamii yako unaweza kumtafutamwalimu anayeaminika, kiongβ¦
Open printable article βπKutahiriwa kwa wanaume ni sawa na ukeketaji?
Hapana. Ukeketaji na kutahiriwa kwa mwanaume havifanani.Kama kutahiriwa kwa mwanamume ni sawa na ukeketaji basiingebidi uume wote ukatwe kabisa. Katika kumtahiri mwanamumeni ile ngozi ya govi ya uume ndiyo inaondolewa. Wakati kutahiriwakwa wanaume siyo lazima na pia kuna watu wengine wanapinga,haunaβ¦
Open printable article β