Je, kisimi cha mwanamke kikisuguliwa kwa vidole atafikia mshindo? Na kuna madhara yoyote ?

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… 2022-04-17 18:35:58πŸ’¬ 0 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Ni kweli kwamba kuna sehemu za mwili ambazo zikiguswa huleta msisimko mwilini.

Kisimi (au kinembe) ni moja ya sehemu hizo kwa mwanamke, kwa sababu pale kuna mkusanyiko mkubwa wa mishipa ya fahamu. Kusugua kisimi ni njia salama ya kumaliza ashiki ya kutaka kujamii ana. Hakuna madhara yoyote ya kiafya wala kiakili kama kisimi kinasuguliwa.

πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

0 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
No comments yet.