Je, ni kweli kwamba uvutaji wa bangi hukufanya uwe na nguvu?

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… 2022-04-17 03:47:05πŸ’¬ 0 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Si kweli kabisa! Baada ya kuvuta bangi mtu hujiona kama jasiri sana na mwenye nguvu. Lakini madhara ya bangi ni kinyume na matarajio ya mtumiaji kwani mishipa husinyaa na ubongo hushindwa kufanya kazi zake vyema na kutoa uamuzi usio sahihi wa utendaji sahihi wa kazi za mwili.

πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

0 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
No comments yet.