Kwa vile Albino hana tofauti na watu wengine inopokuja
kwenye suala la idadi ya watoto wa kuzaa jambo la msingi ni
yeye mwanamke au mwanaume Albino kuzaa idadi aliyojipangia
mwenyewe. Akitia maanani uwezo alio nao wa kuwatunza na
kuwapa mahitaji muhimu.
Je, watu wanaoishi na hali ya ualbino wanaweza kuzaa watoto wangapi?






Discussion
Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.
You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.
Log in to participate