Je, serikali imechukua hatua gani kudhibiti hali hii ya mauaji ya Albino? Tutaishi vipi?

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… 2022-04-15 18:35:50πŸ’¬ 0 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Kifungu cha 14 cha Katiba ya Tanzania kinaeleza kwa ufasaha
kuwa: β€œKila mtu ana haki ya kuishi na kulindwa utu wake katika
jamii kwa misingi ya sheria.” Hata Rais Kikwete katika hotuba
zake kwa Taifa za kila mwezi amewahi kukemea mauaji haya
mwaka 2008 kwa kusema; β€œ mauaji haya ni aibu na fedheha
kubwa kwa jamii yetu” pia β€œukatili usio na sababu” na akaendelea
kusema, β€œni lazima yakomeshwe mara moja.”
Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na taasisi na asasi za
kijamii wanaendelea kutoa mafunzo, taarifa na mazingira
yatakayowawezesha Albino kuishi maisha bora na yenye
mafanikio katika jamii.

πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

0 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
No comments yet.