Ni kweli kwamba baadhi ya pombe, hasa bia, husababisha
ongezeko la uzito kwa baadhi ya watu kwa sababu ina mkusanyiko
mkubwa wa sukari na wanga.
Watu husema bia hukufanya uwe mnene, je, ni kweli?
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
