Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_13e9de855b7cd62132601dbd2b9b4dd9, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in
/home/ackyshine/mobile/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in
/home/ackyshine/mobile/display_user.php on line
4
Jinsi ya kujikinga na ugonjwa wa homa ya Dengu (Dengue fever)
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ugonjwa wa dengue ni tishio la ugonjwa hatari linaongezeka siku hadi siku. Dengue ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoenezwa na mbu aitwae aedes.
Ugonjwa huu huenea zaidi msimu wa nvua. Huchukua siku 3-14 kwa mgonjwa kuonyesha dalili za dengue. Dalili kuu za dengue huwa ni maumivu makali ya kichwa, mgongo pia kutokwa na damu maeneo ya wazi kama puani maskioni (Hasa watoto) .
Siku zote kinga ni bora kuliko tiba hivyo huna budi kufanya yafuatayo kujikinga na ugonjwa hatari wa dengue:
1. Epuka Kuvaa nguo fupi kama kaptura, shati au tisheti kata mikono. Vaa suruali na shati/sweta la mikono mirefu
2. Usiweke Makopo chini ya Viyoyozi kwani hudondosha maji yanayoweza kuwavutia mbu.
3. Maji ya kwenye makopo ya maua yabadilishwe mara kwa mara.
4. Epuka Kuanika nguo Mbichi ndani ya nyumba. Hii huwavuta mbu kuzaliana
5. Osha vyombo visivyotumika angalau mara moja kwa wiki.
6. ondoa madimbwi yoyote yanayotuwamisha maji.
7. Tumia chandarua unapolala nyakati za mchana.
8. Funika makopo ya taka ili kutowavutia mbu.
9. Kunywa maji mengi na jenga mazoea ya kunywa juice za matunda.
10. Usiache milango wala madirisha wazi bila sababu ya msingi.
Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_1878d4c188cfc74dd52af93be5de125b, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in
/home/ackyshine/mobile/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in
/home/ackyshine/mobile/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Aspirin inaweza kuwa ni moja ya dawa nzuri za chunusi. Chukua vidonge viwili au vitatu vya aspir...
Read More
-Hii ni tezi ya wanaume yenye sifa zifuatazo.
~Ina umbo km yai(oval shape)
~Ina ukubwa ...
Read More
Vifaa vya kieletroniki
Vifaa vingi vya kisasa vya kieletroniki vinasababisha kushuka kwa ...
Read More
Zabibu huweza kutumika kama tiba ya shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo
Tunda asili yake ni sehemu za Mashariki mwa Europe na pia Magharibi mwa Asia, na tunda hili linaj...
Read More
Leo nimekuletea matumizi ya mbegu ya parachichi yenyewe yaani ile inayokuwa katikati ya tunda la ...
Read More
Kukoroma ni tatizo linalowapata watu wengi wakati wanapolala ambalo linaweza kuwatokea watu wa kila ...
Read More
Upungufu wa nguvu za kiume umekua tatizo kubwa sana kwa wanaume wengi. Tatizo hili limewakumba wanau...
Read More
Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_d1823ac7bc3e9458f3c49b08e4b2aea5, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in
/home/ackyshine/mobile/bottom_menu.php on line
3
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in
/home/ackyshine/mobile/bottom_menu.php on line
3
No comments yet. Be the first to share your thoughts!