Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Chumvi

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… 2022-07-22 22:36:11πŸ’¬ 0 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

VIAMBAUPISHI

Unga - 3 Vikombe vya chai

Siagi - 250 gms

Baking powder - 3 Vijiko vya chai

Mayai - 2

Chumvi - 1 kijiko cha chai

Maziwa - 1/2 Kikombe

Pilipili manga ya unga 1 Kijiko cha chai

MAANDALIZI

Katika bakuli la kusagia (blender) au mashine ya keki, tia siagi, chumvi na mayai, piga mpaka iwe kama malai (cream).
Tia Unga, baking powder, pilipili manga.
Tia maziwa.
Kata usanifu (design) unayotaka na sokota au kunja kwa usanifu unaopenda.
Pika (bake) katika moto wa 350ΒΊ C – usiviache vikawa rangu ya udongo (brown) sana.

πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

0 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
No comments yet.