Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Tende Na Ufuta

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… 2022-11-28 21:57:50πŸ’¬ 0 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

MAHITAJI

Unga - 3 Vikombe vya chai

Baking powder - 1 Β½ Vijiko vya chai

Sukari - 1 Kikombe cha chai

Siagi - 1 Kikombe cha chai

Mayai - 2

Maji - kiasi ya kuchanganyia

Tende - 1 Kikombe

ufuta - ΒΌkikombe

MAPISHI

  1. Changanya unga, siagi, baking powder, na sukari katika bakuli
  2. Tia mayai, na maji kidogo uchanganye vizuri.
  3. Sukuma kiasi kama unavyosukuma chapati duara kubwa.
  4. Tandaza tende juu yake halafu kunja hadi mwisho.
  5. Paka mayai juu yake halafu mwagia ufuta kisha kata kata vipande.
  6. Vipange kwenye treya ya oveni kisha choma(bake)moto wa 350Β°F kwa muda wa nusu saa takriban.
  7. Ziepue katika moto naziache zipowe. Panga katika sahani.
πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

0 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
No comments yet.