Mfumo huu wa moyo una kazi zifuatazo:-
๐kupampu damu Mwilini pia kusafirisha gas, taka na homoni mwilini.
๐kuongoza mfumo mzima Wa umeme mwilini.
๐mfumo Wa kujilisha wenyewe na kulisha mwili.
Lakini katika kuyafanya yote haya mambo mengi hutokea ambayo yanasababisha Moyo ushindwe kufanya kazi vizuri na mambo hayo ni kama:-
๐umri
๐mambo ya kurithi
๐aina halisi ya maisha.
๐jinsia
๐uvutaji Wa sigara.
๐kisukari
๐lishe
Pia Kwa mwili wa mwanadamu kuna kolestro (mafuta) nzuri na mbaya
Kolestro nzuri inahitajika sana mwilini na mbaya haihitajiki mwilini.
Hizi ni Bidhaa ambazo ukizitumia zitakusaidia kuimarisha vizuri afya yako ya Moyo na kukuweka katika nafasi nzuri ya kutoweza kupata madhara yoyote yatakayopelekea Moyo kushindwa kufanya kazi yake.
*Artic Sea*
*Inasaidia kupunguza kolestro mbaya Mwilini
- Ina Omega 3 ambayo inashusha kolestro mbaya mwilini na Omega 9 ambayo ina mafuta ya mzeituni ambayo inaongeza kolestro nzuri mwilini
*Argi +*
- ina L-Arginine inayobadilisha nitric Acid Kusaidia kutanua blood verse pia inaruhusu damu ipite vizuri pamoja na virutubisho vingine pia mishipa ikae vizuri
*Vitamin C*
- Inasaidia kuta za mwili na nyuzi nyuzi
*ni Anti Oxidant
- Forever Vitamin C inaongeza Oat Brand
*Garlic Thyme*
*Inasaidia mishipa kuwa madhubuti na imara pia inaipa mishipa relaxation
*Calcium*
*Ni muhimu kwa kusambaza ujumbe
- Ni muhimu kwenye misuli ya moyo
*_Angalizo wenye magonjwa ya moyo atumie Calcium kwa ushauri wa daktari wake_*