mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha
hamu,nitakupa mwili wangu ukeshe nao,nitakulisha
unachokitaka,sitakubania naogopa wengine wataniibia. .
.njo leo uniambie unataka nini?
Meseji ya kumbembeleza mpenzi wako aje kwako
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
