teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi
haiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatane
badaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo siku
wakigombana wataachana.
SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako mnapogombana na kukorofishana
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
