mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenz ni
zawadi,tabasamu,nibusu niambie kiasi gani
unanipenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako
limezunguka ukuta wa moyo wangu,na kamwe jina lako
haliwezi futika.
NAKUPENDA
SMS nzuri kwa mpenzi wako
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
