sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbali
nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza
kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi.
Meseji ya kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
