mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni
maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni
kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe
maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu
Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako kumwambia akufanye wa kipekeee
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
