mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi ni
zawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,naweza
kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyo
wangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana.
SMS ya kumdekeza mpenzi wako na kumwambia unavyompenda
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
