Natamani ningekuwa chozi jichoni mwako ambapo ningetelemka
na kuishia midomoni mwako, lakini kamwe sitamani uwe chozi
jichoni mwangu nitakupoteza kila muda niliapo.
SMS kali sana yenye ujumbe wa kimahaba kwa mpenzi wako
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
