USikimbie nyuki ukakosa asali, utamu wa samaki ni kula na
wali,
usizidishe siki akawa mkali.
Ni
mimi niliye na dhiki nakujulia tu hali.
Meseji nzuri ya kumjalia hali umpendaye
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
