Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ujumbe wa kuasa kuhusu upendo

Featured Image

UPENDO ni ubeti wa maneno yaliyo tamkwa mpaka sasa hajulikan nani alietunga!
PENZI ni hadithi iliyocmuliwa lakin mpaka sasa hafahamik nan muhucka, ndio maana kila mwenye KUPENDA au KUPENDWA hana uhakika muda wote huhis anasalitiwa.
PENZI Ni kama jengo lilokosa nguzo muda wowote unahic litadondoka… Ucnielewe vibaya ckukatazi KUPENDA au KUPENDWA, ila tazama wap UMEPENDA au UMEPENDWA!je eti nikweli kumpenda asie kupenda ni sawa na kusubiri boti airport

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Sumari (Guest) on August 16, 2015

πŸ’˜πŸ˜˜πŸ’–

Mwafirika (Guest) on August 2, 2015

Wewe ni msukumo wa ndoto zangu zote, na kila hatua ninayochukua ni kwa ajili ya kukufikia. Nakupenda kwa namna isiyo na kikomo, na sitaki maisha yangu bila ya kuwa nawe πŸšΆβ€β™‚οΈβ€οΈ.

Ruth Wanjiku (Guest) on July 28, 2015

Nakupenda zaidi ya vile ulimwengu ulivyo na nyota. Kila moja ya nyota hizo inaashiria kumbukumbu nzuri tulizonazo, na najua kuwa tutaendelea kuunda nyingine nyingi zaidi βœ¨πŸ’«.

Victor Malima (Guest) on July 10, 2015

πŸ’˜πŸ’•πŸ’‹

Victor Malima (Guest) on July 4, 2015

πŸ˜˜πŸ’“β€οΈ

Jamal (Guest) on June 11, 2015

Unapokuwa mbali nami, hisia zangu hukosa mwelekeo, kama boti iliyo baharini bila dira. Lakini sauti yako ni upepo unaoniongoza kurudi kwako, mahali ambapo moyo wangu unahisi nyumbani. Nakuhitaji karibu nami, kwa sababu wewe ndiye unayetoa maana kwa kila hatua ninayochukua πŸ›ΆπŸŒ¬οΈ. Bila wewe, maisha yangekuwa kama bahari isiyo na mwangaza, lakini unapokuwa karibu, kila kitu kinapata mwangaza wa kipekee. Nakupenda kwa kila sekunde ya maisha yangu na ninatamani kuwa nawe milele πŸ’–πŸοΈ.

Zakaria (Guest) on June 1, 2015

Nakupenda kwa dhati, na kila siku ninayoishi ni kwa ajili ya kukufanya uhisi furaha. Wewe ni sababu ya kila kitu kizuri maishani mwangu, na naahidi kukutunza daima πŸ₯°πŸ’.

Peter Otieno (Guest) on May 23, 2015

Nakutazama naona kioo cha roho yangu, mahali ambapo ndoto zangu zinajidhihirisha. Upendo wako ni kama anga lisilo na mwisho, lenye nyota zisizohesabika, na kila moja inaangaza njia ya furaha yangu 🌟❀️.

Thomas Mtaki (Guest) on May 13, 2015

Wewe ni zaidi ya mpenzi kwangu; wewe ni sehemu ya roho yangu. Upendo wako ni zawadi ya thamani ambayo imenifanya nijue maana halisi ya maisha πŸ’–πŸ€—.

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 23, 2015

Moyo wangu unajua lugha moja tu, nayo ni lugha ya upendo kwako. Kila pumzi ninayovuta ni ahadi nyingine ya kukupenda zaidi, bila kujali hali gani inakuja. Upendo wetu ni imara kama mlima, hauna mwisho β€οΈπŸ’¨

Nancy Kawawa (Guest) on April 18, 2015

Kama moyo wangu ungeweza kuandika, ungeandika vitabu vingi kuhusu upendo wetu. Lakini hata vitabu hivyo vingeweza kushindwa kueleza jinsi ninavyokupenda kwa dhati πŸ“šβ€οΈ. Kila kurasa ingekuwa na maneno ya upendo na hisia za kweli, lakini bado isingeweza kueleza kina cha hisia zangu. Nakupenda kwa namna isiyo na kikomo, na najua kuwa maisha yetu yatakuwa yenye furaha na upendo wa milele πŸ’–βœ¨.

Mary Mrope (Guest) on April 13, 2015

Nakupenda zaidi ya vile neno \\\'upendo\\\' linaweza kueleza. Wewe ni zaidi ya mpenzi; wewe ni sehemu ya nafsi yangu, sehemu ambayo siwezi kuishi bila πŸ’˜πŸ’ž.

Grace Majaliwa (Guest) on April 9, 2015

Unaponiambia unavyonipenda, moyo wangu hupiga kwa nguvu ya ajabu, kama vile upepo wa baharini unavyovuma kwa nguvu na upole. Wewe ni kimbilio la amani yangu, mahali ambapo naweza kuacha mzigo wa dunia πŸ₯°πŸŒŠ.

Alice Mwikali (Guest) on April 3, 2015

Wewe ni zaidi ya maneno yanavyoweza kueleza. Upendo wangu kwako ni wa kina kirefu, kama bahari isiyo na mwisho. Ninakushukuru kwa kunifanya nijue uzuri wa upendo wa kweli 🌊❀️.

Related Posts

Ujumbe mzuri wa SMS wa kumfariji mpenzi wako maisha yake yanapokuwa magumu

Ujumbe mzuri wa SMS wa kumfariji mpenzi wako maisha yake yanapokuwa magumu

Furaha yangu kubwa ni kuliona tabasamu lako, kujua uko na
furaha, na kuhisi upen... Read More

SMS ya kumtumia mpenzi wako usiku

SMS ya kumtumia mpenzi wako usiku

Nenda sms taratibu kwa yule ma BEST nimpendaye,ukimkuta
amelala ucmuamshe mpige ... Read More

SMS ya kimahaba ya kumtumia mpenzi wako wa kike kumsifia na kumwambia unavyompenda

SMS ya kimahaba ya kumtumia mpenzi wako wa kike kumsifia na kumwambia unavyompenda

mahakama ya upendo iliyopo mtaa wa busu imenihukumu
kufungwa kwenye gereza la mo... Read More

Ujumbe wa kutuma kwa mpenzi wako ajione mwenye thamani kubwa

Ujumbe wa kutuma kwa mpenzi wako ajione mwenye thamani kubwa

Wewe ni mng’arao machoni mwangu;
Tabasamu la midomo yangu;
Furaha ya uso ... Read More

SMS ya kumtakia sweet wako usiku mwema

SMS ya kumtakia sweet wako usiku mwema

Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kw... Read More

SMS ya kimahaba ya kumkumbusha mpenzi wako uwepo wako

SMS ya kimahaba ya kumkumbusha mpenzi wako uwepo wako

Ucku ulalapo jua kuna m2 akupendaye,mchana uwajibikapo
tambua yupo anayekuwaza ,... Read More

SMS ya kumsihi mpenzi wako asikuache

SMS ya kumsihi mpenzi wako asikuache

Uchungu wa kifo hauna tofauti na maumivu nitakayoyapata ukiniachana, mpenzi usiniache... Read More

Ujumbe wa kimahaba kwa mpenzi kumwambia kuwa yeye ni mmoja tuu katika maisha yako

Ujumbe wa kimahaba kwa mpenzi kumwambia kuwa yeye ni mmoja tuu katika maisha yako

Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7
katika wiki, masaa 24... Read More

SMS nzuri ya kimahaba kumwambia mpenzi wako jinsi unavyotamani uwe naye kila sehemu na kila wakati

SMS nzuri ya kimahaba kumwambia mpenzi wako jinsi unavyotamani uwe naye kila sehemu na kila wakati

Kila unachokifanya natamani niwepo, nikitumainia kila
ndoto yako itimie kila mud... Read More

SMS ya kumtumia mpenzi wako kumshukuru kwa salamu

SMS ya kumtumia mpenzi wako kumshukuru kwa salamu

Salamu yako ni nusu ya uhai wangu, kuikosa nisawa na kuidhulumu nafsi yangu, kuipata ... Read More

Meseji ya kimahaba ya kumuuliza mpenzi wako kama anakupenda

Meseji ya kimahaba ya kumuuliza mpenzi wako kama anakupenda

Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakama
ya mapenzi kifungu cha... Read More

SMS nzuri ya kumtakia mpenzi wako asubuhi njema

SMS nzuri ya kumtakia mpenzi wako asubuhi njema

Katika maisha nimejifunza mambo mengi ikiwemo,. Kupendwa, kupenda, kusameh... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About