nalia ukiwa mbali, nachukia nisipo kuona ,najuta ninapo
kuudhi ,naumia unapo nitenga , nateseka ukiwa kimya
,nafurahi ukinikumbuka, nakupnda mpz
Ujumbe wa mahaba wa kumwambia mpenzi wako unamzimia
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
